Monday, 2 February 2015
UKATILI: MWANACHUO AJIFUNGUA MTOTONA KUMTUPA JALALAN HUKO JIJINI...>>> CLICK HAPA KUPATA HABARI AMILI
Posted by Ngosha at 07:35
0 Comments
Wednesday, 7 January 2015
DIAMOND AHAIDIWA DAU LA SH.MILLION 69 AMWACHE ZARI ZE BOSS.JE UNAMSHAURI NN DIAMOND....???
Posted by Unknown at 21:24
0 Comments
MAJONZI YAGEUKA FURAHA:::AUNTY EZEKIEL NA WEMA SEPETU WAANGUA KICHEKO KABURINI KWA NGWEA.....
Posted by Unknown at 12:21
0 Comments
Sunday, 4 January 2015
SHIDAAAH!!:: WATCH OUT RAY C AKIMBIZWA PEKUPEKU NA PANYA ROAD HADI KITUO CHA POLIS...
Posted by Unknown at 12:49
0 Comments
juzi mambo yalikuwa si
mambo katikati ya jiji la dar baada ya vijana wanaojiita panya road kufanya
fujo mitaa ya sinza, magomeni na mwananyamala , mmoja wa wahanga wa fujo hizi
ni mwanamuziki ray c..
hichi ndicho kilichomtokea:
"sina hamu na hawa panya road, jana nilikuwa sehemu flani sinza nakula kitimoto nilivyoona watu wanakimbia nikatoka nduki bila viatu nikaingia kwenye gari mbio mara mbele yangu nikakutana na lundo la watu wakinoa mapanga barabarani, niligeuza gari utafikiri niko kwenye movie nikajikuta nimefika osterbay polisi bila viatu mpaka askari wakanicheka! !!!!!!!!!!serikali tunaomba mkamate hawa vijana kwakweli maana tumezoea amani sasa mambo kama haya yakitokea yanakosesha amani kabisa kwa wananchi!na uhakika jeshi la polisi litafanya kazi yake yani nilijihisi kama niko rwanda maana nakumbuka mapanga yale niliwahi yaona kwenye muvi ya somewhere in april na hotel rwanda!!!!sasa wale waliosema bora damu imwagike nadhani kauli itabadilika maana kama panya road wanatupelekesha hivi je hiyo vita!!!, je hiyo vita, si tutapanda juu ya nyumba zetu!!!!! jamani msicheze na haya mambo jamani, amani ndio sifa kuu ya nchi yetu........eeh mungu tuepushe na haya mambo....." ray c
hichi ndicho kilichomtokea:
"sina hamu na hawa panya road, jana nilikuwa sehemu flani sinza nakula kitimoto nilivyoona watu wanakimbia nikatoka nduki bila viatu nikaingia kwenye gari mbio mara mbele yangu nikakutana na lundo la watu wakinoa mapanga barabarani, niligeuza gari utafikiri niko kwenye movie nikajikuta nimefika osterbay polisi bila viatu mpaka askari wakanicheka! !!!!!!!!!!serikali tunaomba mkamate hawa vijana kwakweli maana tumezoea amani sasa mambo kama haya yakitokea yanakosesha amani kabisa kwa wananchi!na uhakika jeshi la polisi litafanya kazi yake yani nilijihisi kama niko rwanda maana nakumbuka mapanga yale niliwahi yaona kwenye muvi ya somewhere in april na hotel rwanda!!!!sasa wale waliosema bora damu imwagike nadhani kauli itabadilika maana kama panya road wanatupelekesha hivi je hiyo vita!!!, je hiyo vita, si tutapanda juu ya nyumba zetu!!!!! jamani msicheze na haya mambo jamani, amani ndio sifa kuu ya nchi yetu........eeh mungu tuepushe na haya mambo....." ray c
Tuesday, 30 December 2014
SIKU ZA MWISHO :: TAZAMA VIDEO WANAUME WAOANA MBELE YA MAELFU YA WATU KATIKA KANISA LA ...MBELE YA BADRI MARKOS THONG
Posted by Unknown at 17:13
0 Comments
"Dunia hii itafanywa tupu kabisa, na kuharibiwa kabisa; maana BWANA amenena neno hilo. Dunia inaomboleza inazimia; ulimwengu unadhohofika unazimia; watu wakuu wa dunia wanadhoofika. Tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa, kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele". ISAYA 24:3-5.
Mambo 3 yamezungumziwa ktk msitari wa 5 ambayo ndiyo sababu ya dunia hii kuwa ktk hali hii mbaya:
1. KUZIASI SHERIA - Hii inamaanisha ni kutenda kinyume na sheria za Mungu zinavyosema 'KUTOKA 20:3-17.
2. KUIBADILI AMRI - Hii inamaanisha kuna amri moja iliyobadilishwa maana inazungumzia uchache. Na ukiangalia leo amri ya 4 ndiyo iliyobadilishwa 'KUTOKA 20:8-11, hata Daniel naye alitabiri kuhusiana na jambo hili "DANIEL 7:25".
3. KUVUNJA AGANO LA MILELE - Agano hili la milele lilivunjwa ni Sabato ya Bwana 'KUTOKA 31:16
"Dunia hii itafanywa tupu kabisa, na kuharibiwa kabisa; maana BWANA amenena neno hilo. Dunia inaomboleza inazimia; ulimwengu unadhohofika unazimia; watu wakuu wa dunia wanadhoofika.
Tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa, kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele". ISAYA 24:3-5. Mambo 3 yamezungumziwa ktk msitari wa 5 ambayo ndiyo sababu ya dunia hii kuwa ktk hali hii mbaya:
1. KUZIASI SHERIA - Hii inamaanisha ni kutenda kinyume na sheria za Mungu zinavyosema 'KUTOKA 20:3-17. 2.
KUIBADILI AMRI - Hii inamaanisha kuna amri moja iliyobadilishwa maana inazungumzia uchache. Na ukiangalia leo amri ya 4 ndiyo iliyobadilishwa 'KUTOKA 20:8-11, hata Daniel naye alitabiri kuhusiana na jambo hili "DANIEL 7:25". 3.
KUVUNJA AGANO LA MILELE - Agano hili la milele lilivunjwa ni Sabato ya Bwana 'KUTOKA 31:16
Mambo 3 yamezungumziwa ktk msitari wa 5 ambayo ndiyo sababu ya dunia hii kuwa ktk hali hii mbaya:
1. KUZIASI SHERIA - Hii inamaanisha ni kutenda kinyume na sheria za Mungu zinavyosema 'KUTOKA 20:3-17.
2. KUIBADILI AMRI - Hii inamaanisha kuna amri moja iliyobadilishwa maana inazungumzia uchache. Na ukiangalia leo amri ya 4 ndiyo iliyobadilishwa 'KUTOKA 20:8-11, hata Daniel naye alitabiri kuhusiana na jambo hili "DANIEL 7:25".
3. KUVUNJA AGANO LA MILELE - Agano hili la milele lilivunjwa ni Sabato ya Bwana 'KUTOKA 31:16
"Dunia hii itafanywa tupu kabisa, na kuharibiwa kabisa; maana BWANA amenena neno hilo. Dunia inaomboleza inazimia; ulimwengu unadhohofika unazimia; watu wakuu wa dunia wanadhoofika.
Tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa, kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele". ISAYA 24:3-5. Mambo 3 yamezungumziwa ktk msitari wa 5 ambayo ndiyo sababu ya dunia hii kuwa ktk hali hii mbaya:
1. KUZIASI SHERIA - Hii inamaanisha ni kutenda kinyume na sheria za Mungu zinavyosema 'KUTOKA 20:3-17. 2.
KUIBADILI AMRI - Hii inamaanisha kuna amri moja iliyobadilishwa maana inazungumzia uchache. Na ukiangalia leo amri ya 4 ndiyo iliyobadilishwa 'KUTOKA 20:8-11, hata Daniel naye alitabiri kuhusiana na jambo hili "DANIEL 7:25". 3.
KUVUNJA AGANO LA MILELE - Agano hili la milele lilivunjwa ni Sabato ya Bwana 'KUTOKA 31:16
MAAJABU ::JIONEE PICHA AJIFUNGUA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 5 NDIE MWANAMKE MDOGO DUNIANI KUJIFUNGUA
Posted by Unknown at 10:50
0 Comments
Lina Medina aliyezaliwa tarehe 27 Sept.
1933, huko Ticrapo, mkoa wa Huancavelica, nchini Peru, anatajwa kua Mama mwenye
umri mdogo kuwahi kutokea katika historia ya Ulimwengu.
Tarehe 14 Mei 1939 Lina akiwa na umri wa miaka 5 na miezi 7, alijifungua mtoto wa Kiume aliye mpa jina la Gerardo Medina.
Ilianzaje? Mwanzoni mwa mwezi Machi 1939 wazazi wa Lina ~ Tiburelo Medina na Victoria Losea waliamua kumpeleka Hospitali baada ya kuona tumbo likiongezeka kupita kiasi.Wazazi wa Lina walidhani huenda ana uvimbe tumboni, lakini madaktari waligundua kua alikua ana ujauzito wa miezi 7. Dr. Gerardo Lozada aliamua kumpeleka Lina kwa wataalam zaidi nao wakathibitisha kua ni kweli alikua mja mzito.
Alizaaje? Mwezi mmoja na nusu baada ya kupelekwa hospitali kwa mara ya kwanza, Lina alijifungua mtoto wa kiume kwa njia ya upasuaji, kutokana na njia yake ya uzazi kua ndogo. Upasuaji ulifanywa na Dr. Lozada, Dr. Busalleu, na Dr. Colareta.
Alivunja Ungo lini? Dr. Edmundo Escomel alitoa ripoti kamili juu ya kesi ya Lina kupitia jarida maalum la maswala ya kiafya na matibabu liitwalo La Presse Médicale. Ripoti hii ilibainisha kwamba Lina alianza kupata siku zake tangu akiwa na umri wa miezi 8, alitofautiana na ripoti ya awali iliyosema kua amekua akiona siku zake tangu alipokua na umri wa miaka 3. Ripoti hii pia ilisema kua Lina alianza kuota maziwa akiwa na umri wa miaka 4, alipofikisha miaka 5 nyonga yake ilikua imesha tanuka.
Alizaa mtoto gani? Mtoto alizaliwa na uzito wa kilo 2.7 na alipewa jina la daktari wake Gerardo.
Gerardo alilelewa akijua kwamba lina ni dada yake lakini alikuja kujua ukweli akiwa na umri wa miaka 10.
Gerardo aliendelea kukua akiwa mtoto mwenya afya njema lakini alifariki mwaka 1979 akiwa na miaka 40 kwa ugonjwa wa mifupa ujulikanao kwa jina la kitaalam la Bone marrow.
Nani Baba wa mtoto? Lina hajawahi kumtaja baba wa mwanae wala mazingira yaliyopelekea yeye kupata mimba. Dr. Escomel alipendekeza kwamba inawezekana hata Lina mwenyewe alikua hajui, na kusema kua hakutoa majibu yanayo jitosheleza.
Tuhuma kwa baba mzazi: Hata hivyo Baba mzazi wa Lina alikamatwa na kushitakiwa kwa kosa la Unyanyasaji wa kingono wa mtoto (Child Sexual Abuse) lakini aliachiwa baadae baada ya kukosekana ushahidi wa kutosheleza. Na hivyo basi Baba halisi aliyempa mimba Lina hakuwahi kujulikana
Maisha ya Lina baadae:
Miaka kadhaa baadae Lina aliolewa na Raúl Jurado ambaye mwaka 1972 walipata mtoto wa kiume. Lina yupo hai mapaka sasa na anaishi maisha ya kimasikini huko Lima nchini Peru
Tarehe 14 Mei 1939 Lina akiwa na umri wa miaka 5 na miezi 7, alijifungua mtoto wa Kiume aliye mpa jina la Gerardo Medina.
Ilianzaje? Mwanzoni mwa mwezi Machi 1939 wazazi wa Lina ~ Tiburelo Medina na Victoria Losea waliamua kumpeleka Hospitali baada ya kuona tumbo likiongezeka kupita kiasi.Wazazi wa Lina walidhani huenda ana uvimbe tumboni, lakini madaktari waligundua kua alikua ana ujauzito wa miezi 7. Dr. Gerardo Lozada aliamua kumpeleka Lina kwa wataalam zaidi nao wakathibitisha kua ni kweli alikua mja mzito.
Alizaaje? Mwezi mmoja na nusu baada ya kupelekwa hospitali kwa mara ya kwanza, Lina alijifungua mtoto wa kiume kwa njia ya upasuaji, kutokana na njia yake ya uzazi kua ndogo. Upasuaji ulifanywa na Dr. Lozada, Dr. Busalleu, na Dr. Colareta.
Alivunja Ungo lini? Dr. Edmundo Escomel alitoa ripoti kamili juu ya kesi ya Lina kupitia jarida maalum la maswala ya kiafya na matibabu liitwalo La Presse Médicale. Ripoti hii ilibainisha kwamba Lina alianza kupata siku zake tangu akiwa na umri wa miezi 8, alitofautiana na ripoti ya awali iliyosema kua amekua akiona siku zake tangu alipokua na umri wa miaka 3. Ripoti hii pia ilisema kua Lina alianza kuota maziwa akiwa na umri wa miaka 4, alipofikisha miaka 5 nyonga yake ilikua imesha tanuka.
Alizaa mtoto gani? Mtoto alizaliwa na uzito wa kilo 2.7 na alipewa jina la daktari wake Gerardo.
Gerardo alilelewa akijua kwamba lina ni dada yake lakini alikuja kujua ukweli akiwa na umri wa miaka 10.
Gerardo aliendelea kukua akiwa mtoto mwenya afya njema lakini alifariki mwaka 1979 akiwa na miaka 40 kwa ugonjwa wa mifupa ujulikanao kwa jina la kitaalam la Bone marrow.
Nani Baba wa mtoto? Lina hajawahi kumtaja baba wa mwanae wala mazingira yaliyopelekea yeye kupata mimba. Dr. Escomel alipendekeza kwamba inawezekana hata Lina mwenyewe alikua hajui, na kusema kua hakutoa majibu yanayo jitosheleza.
Tuhuma kwa baba mzazi: Hata hivyo Baba mzazi wa Lina alikamatwa na kushitakiwa kwa kosa la Unyanyasaji wa kingono wa mtoto (Child Sexual Abuse) lakini aliachiwa baadae baada ya kukosekana ushahidi wa kutosheleza. Na hivyo basi Baba halisi aliyempa mimba Lina hakuwahi kujulikana
Maisha ya Lina baadae:
Miaka kadhaa baadae Lina aliolewa na Raúl Jurado ambaye mwaka 1972 walipata mtoto wa kiume. Lina yupo hai mapaka sasa na anaishi maisha ya kimasikini huko Lima nchini Peru
WEMA SEPETU::CLICK KUPATA ALICHOFUNGUKA KUHUSU MAPENZI YA DIAMOND NA ZARI
Posted by Unknown at 05:47
0 Comments
-
TUWAFICHE WAPI WATOTO WETU?: VIDEO YA MWANAMKE AMLAZIMISHA MTOTO KUFANYA MAPENZI KICHAKANI FUATILIA MKASA HUU USICLICK ULIECHII YA MIAKA 18
-
AIBU BAADA YA SHOW:MWANAMUZIKI WA KIKE KUTOKA UGANDA APANDWA NA MIZUKA AKIWA STEJINI NA KURUHUSU MASHABIKI KUMTOMASA HADI SEHEMU NYETI JIONEE MWENYEWE!!!!
-
SASA NI ZAIDI YA KIJIJI,KAMPUNI YA MDIF YA MAREKANI INAMPANGO WA KUGAWA HUDUMA ZA WI-FI BURE ULIMWENGU MZIMA ...
-
MAMBO YA CHRISTMASS::JIONEE PICHA MUIGIZAJI PACHO ATEMBEZEWA KA MWIZI BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA BONDIA
-
HIVI PUNDE:JIONEE PICHA NA VIDEO ABAKWA NA WANAUME ZAIDI YA 100 BAADA YA KUMBAKA MTOTO WAKE WA KIUME
-
ONA MPANGAJI MWENZANGU ANAVYONITEGA, NIKIMTEGUA KUNA TATIZO???
-
BONGE LA VIDEO :DOWNLOAD NA KUSIKILIZA ALI KIBA ALIVYOMFUNDA DIAMOND KWENYE MWANA DAR ES SALAAM
-
FUMANIZI LA AIBU::::MAMA NA WATOTO WAMFUMANIA BABA AKIWA NA MCHEPUKO SIKU YA XMASS..JIONEE MTU ALIVYO UMBUKA
-
Picha za Diamond Platnumz alitembelea Ikulu na Tuzo zake za Choamva
-
JIONEE AFARIKI GHAFLA BAADA YA KUTAJWA MSHINDI WA UWENYEKITI WA MTAA KATIKA MTAA WA MTAKUJA IRINGA …….








Facebook
Twitter
Google+
Rss Feed