Powered by Blogger.

Friday, 19 December 2014

AIBU: WAZIRI WA VIJANA NA UTAMADUNI KUPOST PICHA ZA UTUPU MTANDAON..!!!!

Posted by Unknown at 04:48 0 Comments


lisa-hanna-jamaica-minister-of-youth


Waziri wa Vijana na Utamaduni wa Jamaica , Lisa Hannah amezua mjadala kwa kupost picha akiwa amevaa bikini na top yenye picha ya Bob Marley.

Lisa ambaye amewahi kuwa Miss World mwaka 1993, alipost picha hiyo kwenye ukurasa wake wa facebook na kusababisha mjadala juu ya picha hiyo, wengine wakisema sio sahihi kwa kiongozi ambaye ni mbunge na waziri kufanya hivyo, huku wengine wakisema ni sawa.
hanna

Tags:

Share This Post

Get Updates

Subscribe to our Mailing List. We'll never share your Email address.

0 comments:

Total Pageviews

back to top